• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Shinyanga District Council
Shinyanga District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Maendeleo, Ustawi wa Jamii na Vijana
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maji
      • Mipango, Ufuatiliaji na Takwimu
      • Afya
      • Usafi na Manzingira
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Land and Natural Resources
    • Vitengo
      • Teknolojia, Habari, Mawasiliano na uhusiano
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Nyuki na Misitu
      • Uchaguzi
      • Manunuzi na Ugavi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Viwanda
    • Madini
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Mipango
      • Kamati ya Masuala ya Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Elimu , Afya na Maji
    • Ratiba ya Vikao vya Kisheria
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
    • Madiwani wa Kuchaguliwa
    • Madiwani wa Kuteuliwa
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Fomu
    • Majarida
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Kanzi Data ya Picha
    • Hotuba
    • Habari
    • Video

TANGAZO LA NAFASI YA KAZI - Mtendaji wa Kijiji Daraja la III (Nafasi 1)

13 August 2021

TANGAZO LA NAFASI  YA KAZI

Mkurugenzi   Mtendaji  wa  Halmashauri   ya Wilaya  ya Shinyanga  kupitia   Kibali  cha Ajira mbadala    chenye     Kumb.     Na.FA.170/376/01"8"/60    cha    tarehe     19   Julai,    2021 kilichotolewa  na  Katibu  Mkuu,  Ofisi  ya  Rais, Menejimenti  ya  Utumishi   wa  Umma  na Utawala  Bora {UTUMISHI)   anatangaza  nafasi ya kazi kwa  Wananchi  wa Tanzania wenye sifa na ujuzi wa kujaza nafasi ifuatayo:-

Mtendaji wa Kijiji  Daraja la Ill (Nafasi  1)

(a)     Sifa za Mwombaji:

 Awe  amehitimu  Kidato  cha  Nne  au Sita  na  Cheti   cha  Mafunzo   (NTA  LEVEL 5) katika fani mojawapo kati ya hizi;  -  Utawala, Sheria, Elimu ya Jamii (Sociology). Usimamizi  wa  Fedha, Maendeleo   ya Jamii  na Sayansi ya Sanaa kutoka  katika Chuo chochote  kinachotambuliwa na Serikali.

(b)   Kazi na majukumu   ya Mtendaji wa Kijiji  Daraja Ill

      Mtendaji wa Kijiji atatekeleza  majukumu  yafuatayo.-

  •   Afisa Masuhuli  na Mtendaji Mkuu wa Serikali ya Kijiji
  • Kusimamia  Ulinzi na Usalama wa Raia na Mali zao,
  •  Mlinzi wa Amani  na Msimamizi  wa Utawala   Bora katika Kijiji,
  • Kuratibu  na kusimamia  upangaji  na utekelezaji  wa mipango  ya maendeleo ya Kijiji
  • Katibu wa Mikutano Mikuu  na Kamati zote za Halmashauri  ya Kijiji,
  • kutafsiri  na kusimamia  Sera, Sheria na Taratibu  za Serikali katika ngazi  ya Kijiji

(c)         Ngazi ya Mshahara:

  1. Mwombaji atakaefanikiwa   kuajiriwa  kwa Cheo cha Mtendaji wa Kijij Daraja la Ill 
  2. atalipwa  mshahara  ngazi ya TGS  B kwa mwezi.

MASHARTI  YA JUMLA  KWA WAOMBAJI   WOTE JUMLA

  1. Waombaji   wote   wawe   ni  raia wa Tanzania  na wenye  urnn kuanzia miaka 18-45,
  2. Mwombaji aliyewahi  kupatikana  na kosa la jinai  hatafikiriwa,
  3. Barua  ya  mwombaji ioneshe  anuani  anayotumia   kwa  sasa pamoja na namba za simu ikiambatana  na:

a) Maelezo binafsi ya mwombaji (CV)

b) Nakala za vyeti vya kidato cha Nne au Sita kwa wale waliofika kiwango  hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo  mbalimbali (Taaluma) kwa kuzingatia sifa tajwa  hapo juu.

c)  Nakala ya cheti cha kuzaliwa

d) Picha mbili  (2) za Passport Size za hivi karibuni

e) Kitambulisho   au namba ya kitambulisho   cha Taifa (NIDA)

(iv)     Watakaochaguliwa   kuhudhuria  usaili (Shortlisted  Candidates) watafahamishwa kupitia  anuani na namba za simu walizotumia kwenye barua zao za maombi  ya kazi,

(v)     Testimonials   na Provisional  results havitakubalika,

(vi)     Kwa wale  waliosoma   nje ya Tanzania wahakikishe   kwamba  vyeti vyao vimehakikiwa   na kuthibitishwa na Mamlaka  (TCU au NECTA) kulingana  na ngazi ya cheti,

(vii)    Nakala zote za vyeti  vya Shule, Chuo, kitambulisho cha Taifa (NIDA), na cheti  cha kuzaliwa  vithibitishwe na Wakili  yeyote aliyesajiliwa  na kuthibitishwa au Mahakama.


Mwombaji mwenye sifa anatakiwa  kutuma  maombi  kupitia  Posta kwa anuani ifutayo;-

Mkurugenzi  Mtendaji,

Halmashauri  ya Wilaya Shinyanga, 

S.  L.  P  113,

SHINYANGA.

Tangazo hili waweza kulipata hapa TANGAZO LA AJIRA SHINYANGA DC0001.pdf 


Nice R.  Munissy.

MKURUGENZI MTENDAJI, 

HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA  




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI May 23, 2022
  • UPANGISHAJI WA MAJENGO YA OFISI NA NYUMBA ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SHINYANGA ZILIZOPO MANISPAA YA SHINYANGA July 02, 2020
  • TANGAZO MAPOKEZI YA FEDHA February 09, 2021
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI - Mtendaji wa Kijiji Daraja la III (Nafasi 1) August 13, 2021
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • SHINYANGA DC YAFANYA INTERVIEW ZOEZI LA ANUANI YA MAKAZI NA POSTIKODI

    March 21, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI

    March 16, 2022
  • Shinyanga DC yatoa Million mia moja sabini na Tatu na laki nane (173,808,661) kwa makundi ya Vijana, Kina Mama na Watu wenye Ulemavu

    February 03, 2022
  • Shinyanga DC yatoa Million mia moja sabini na moja na laki nane kwa makundi ya Vijana, Kina Mama na Watu wenye Ulemavu

    February 03, 2022
  • Tazama zote

Video

wiki ya maji
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Dira na Dhamira
  • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
  • Muundo wa Taasisi
  • Video mbali mbali
  • Historia
  • Fomu ya Likizo
  • Leseni ya Makazi
  • Fomu ya Mkazi wa Ardhi kulipwa fidia

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu
  • Utumishi
  • Tamisemi
  • ofisi ya taifa ya takwimu (NBS)
  • Idara ya Habari Maelezo
  • Tovuti kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    NIndo - Iselamagazi

    Anuani ya posta: 113 Shinyanga

    Simu: 0282-986382

    Simu: 0282-986382

    Baruapepe za watumishi: info@shinyangadc.go.tz/ded@shinyangadc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki©2018. Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa